Danieli 7:27 BHN

27 Ufalme, utawala na ukuu wa falme zote duniani watapewa watu wa watakatifu wa Mungu Mkuu. Ufalme wao utakuwa wa kudumu milele, na tawala zote zitawatumikia na kuwatii.’

Kusoma sura kamili Danieli 7

Mtazamo Danieli 7:27 katika mazingira