Danieli 8:11 BHN

11 Upembe huo ukajikweza juu ya mkuu wa viumbe vya mbinguni. Ukakomesha tambiko za kuteketezwa ambazo mkuu wa viumbe vya mbinguni alitambikiwa kila siku, na kukufuru maskani yake.

Kusoma sura kamili Danieli 8

Mtazamo Danieli 8:11 katika mazingira