Danieli 8:25 BHN

25 Kwa ujanja wake, atafanikiwa katika mipango yake ya hila, naye atajikweza. Atawaangamiza watu wengi bila taarifa, na atataka kupigana na Mkuu wa wakuu, lakini ataangamizwa pasipo kutumia nguvu za kibinadamu.

Kusoma sura kamili Danieli 8

Mtazamo Danieli 8:25 katika mazingira