24 Yeye ni mwaminifu ambaye awaita, naye atafanya.
25 Ndugu, tuombeeni.
26 Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.
27 Nawaapisha kwa Bwana, ndugu wote wasomewe waraka huu.
28 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi.