16 Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.
Kusoma sura kamili 1 Yoh. 4
Mtazamo 1 Yoh. 4:16 katika mazingira