1 Yoh. 5:16 SUV

16 Mtu akimwona ndugu yake anatenda dhambi isiyo ya mauti, ataomba, na Mungu atampa uzima kwa ajili ya hao watendao dhambi isiyo ya mauti. Iko dhambi iliyo ya mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hiyo.

Kusoma sura kamili 1 Yoh. 5

Mtazamo 1 Yoh. 5:16 katika mazingira