2 Kor. 1:12 SUV

12 Kwa maana kujisifu kwetu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa utakatifu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu; si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu; tulienenda katika dunia, na hasa kwenu ninyi.

Kusoma sura kamili 2 Kor. 1

Mtazamo 2 Kor. 1:12 katika mazingira