2 Kor. 6:16 SUV

16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

Kusoma sura kamili 2 Kor. 6

Mtazamo 2 Kor. 6:16 katika mazingira