Efe. 6:9 SUV

9 Nanyi, akina bwana, watendeeni wao yayo hayo, mkiacha kuwaogofya, huku mkijua ya kuwa yeye aliye Bwana wao na wenu yuko mbinguni, wala kwake hakuna upendeleo.

Kusoma sura kamili Efe. 6

Mtazamo Efe. 6:9 katika mazingira