Flp. 4:18 SUV

18 Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi, tena nimejaa tele; nimepokea kwa mkono wa Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.

Kusoma sura kamili Flp. 4

Mtazamo Flp. 4:18 katika mazingira