20 Sasa atukuzwe Mungu, Baba yetu, milele na milele. Amina.
21 Mnisalimie kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walio pamoja nami wawasalimu.
22 Watakatifu wote wawasalimu, hasa wao walio wa nyumbani mwa Kaisari.
23 Neema ya Bwana Yesu Kristo na iwe pamoja na roho zenu.