27 Kwa maana imeandikwa,Furahi, wewe uliye tasa, usiyezaa;Paza sauti, ulie, wewe usiye na utungu;Maana watoto wake aliyeachwa pekee ni wengiKuliko wa huyo aliye na mume.
Kusoma sura kamili Gal. 4
Mtazamo Gal. 4:27 katika mazingira