Lk. 20:37 SUV

37 Lakini, ya kuwa wafu hufufuliwa, hata na Musa alionyesha katika sura ya Kijiti, hapo alipomtaja Bwana kuwa ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.

Kusoma sura kamili Lk. 20

Mtazamo Lk. 20:37 katika mazingira