8 Akasema, Angalieni, msije mkadanganyika, kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye; tena, Majira yamekaribia. Basi msiwafuate hao.
Kusoma sura kamili Lk. 21
Mtazamo Lk. 21:8 katika mazingira