Lk. 8:29 SUV

29 Kwa kuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu yule. Maana amepagawa naye mara nyingi, hata alilindwa kifungoni na kufungwa minyororo na pingu; akavikata vile vifungo, akakimbizwa jangwani kwa nguvu za yule pepo.

Kusoma sura kamili Lk. 8

Mtazamo Lk. 8:29 katika mazingira