Mdo 12:17 SUV

17 Naye akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Kampasheni Yakobo na wale ndugu habari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.

Kusoma sura kamili Mdo 12

Mtazamo Mdo 12:17 katika mazingira