Mdo 26:7 SUV

7 ambayo kabila zetu kumi na mbili wanataraji kuifikia, wakimwabudu Mungu kwa bidii mchana na usiku. Nami ninashitakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hilo, Ee Mfalme.

Kusoma sura kamili Mdo 26

Mtazamo Mdo 26:7 katika mazingira