Mdo 27:21 SUV

21 Na walipokuwa wamekaa wakati mwingi bila kula chakula, Paulo akasimama katikati yao, akasema, Wanaume, iliwapasa kunisikiliza mimi na kutokung’oa nanga huko Krete, na kupata madhara haya na hasara hii.

Kusoma sura kamili Mdo 27

Mtazamo Mdo 27:21 katika mazingira