7 isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo siri ya Mungu itakapotimizwa, kama alivyowahubiri watumishi wake hao manabii.
Kusoma sura kamili Ufu. 10
Mtazamo Ufu. 10:7 katika mazingira