Ufu. 13:14 SUV

14 Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.

Kusoma sura kamili Ufu. 13

Mtazamo Ufu. 13:14 katika mazingira