Ufu. 21:8 SUV

8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

Kusoma sura kamili Ufu. 21

Mtazamo Ufu. 21:8 katika mazingira