Ufu. 7:14 SUV

14 Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe. Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao, na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-Kondoo.

Kusoma sura kamili Ufu. 7

Mtazamo Ufu. 7:14 katika mazingira