Ufu. 8:3 SUV

3 Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, mwenye chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi.

Kusoma sura kamili Ufu. 8

Mtazamo Ufu. 8:3 katika mazingira