Yn. 10:12 SUV

12 Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.

Kusoma sura kamili Yn. 10

Mtazamo Yn. 10:12 katika mazingira