Yn. 16:13 SUV

13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.

Kusoma sura kamili Yn. 16

Mtazamo Yn. 16:13 katika mazingira