Yn. 16:4 SUV

4 Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.

Kusoma sura kamili Yn. 16

Mtazamo Yn. 16:4 katika mazingira