Yn. 19:6 SUV

6 Basi wale wakuu wa makuhani na watumishi wao walipomwona, walipiga kelele wakisema, Msulibishe! Msulibishe! Pilato akawaambia, Mtwaeni ninyi basi, mkamsulibishe; kwa maana mimi sioni hatia kwake.

Kusoma sura kamili Yn. 19

Mtazamo Yn. 19:6 katika mazingira