Yn. 6:51 SUV

51 Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.

Kusoma sura kamili Yn. 6

Mtazamo Yn. 6:51 katika mazingira