Yn. 8:52 SUV

52 Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng’amua ya kuwa una pepo. Ibrahimu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.

Kusoma sura kamili Yn. 8

Mtazamo Yn. 8:52 katika mazingira