11 Ndipo Nathani akamwambia Bath-sheba, mamaye Sulemani, akasema, Je! Hukusikia ya kuwa Adonia, mwana wa Hagithi, anamiliki, na bwana wetu Daudi hana habari?
Kusoma sura kamili 1 Fal. 1
Mtazamo 1 Fal. 1:11 katika mazingira