1 Fal. 1:25 SUV

25 Maana leo ameshuka, na kuchinja ng’ombe, na vinono, na kondoo tele, naye amewaita wana wote wa mfalme, na majemadari wa jeshi, na Abiathari, kuhani; na tazama, wanakula na kunywa mbele yake, wakisema, Na aishi mfalme Adonia!

Kusoma sura kamili 1 Fal. 1

Mtazamo 1 Fal. 1:25 katika mazingira