35 Kisha pandeni juu nyuma yake, naye atakuja ili aketi katika kiti changu cha enzi; kwa maana atakuwa mfalme badala yangu; ndiye niliyemweka awamiliki Israeli na Yuda.
Kusoma sura kamili 1 Fal. 1
Mtazamo 1 Fal. 1:35 katika mazingira