1 Fal. 11:11 SUV

11 Kwa hiyo BWANA akamwambia Sulemani, Kwa kuwa umefanya hayo, wala hukuyashika maagano yangu, na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme usiwe wako, nami nitampa mtumishi wako.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 11

Mtazamo 1 Fal. 11:11 katika mazingira