1 Fal. 12:27 SUV

27 Kama watu hawa wakipanda kwenda kutoa dhabihu katika nyumba ya BWANA huko Yerusalemu, ndipo mioyo ya watu hawa itamrudia bwana wao, yaani Rehoboamu, mfalme wa Yuda; nao wataniua mimi, na kumrudia Rehoboamu, mfalme wa Yuda.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 12

Mtazamo 1 Fal. 12:27 katika mazingira