7 Na mambo yote ya Abiya yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
Kusoma sura kamili 1 Fal. 15
Mtazamo 1 Fal. 15:7 katika mazingira