1 Fal. 16:31 SUV

31 Ikawa, kama ingalikuwa neno dogo tu kuyaendea makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, akaenda akamtumikia Baali, akamsujudia.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 16

Mtazamo 1 Fal. 16:31 katika mazingira