1 Fal. 2:22 SUV

22 Akajibu mfalme Sulemani akamwambia mamaye, Na mbona wamtakia Adonia Abishagi, Mshunami? Umtakie na ufalme pia; kwa kuwa yeye ni ndugu yangu mkubwa; naam, umtakie yeye, na Abiathari kuhani, na Yoabu mwana wa Seruya.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 2

Mtazamo 1 Fal. 2:22 katika mazingira