1 Fal. 2:26 SUV

26 Tena, mfalme akamwambia Abiathari kuhani, Enenda Anathothi mashambani kwako; kwa kuwa wastahili kufa; ila leo sikuui, kwa sababu wewe ulichukua sanduku la Bwana mbele ya Daudi baba yangu, na kwa sababu wewe uliteswa kwa mateso yote ya baba yangu.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 2

Mtazamo 1 Fal. 2:26 katika mazingira