1 Fal. 20:36 SUV

36 Akamwambia, Kwa sababu hukuisikiliza sauti ya BWANA, angalia, mara ukitoka kwangu simba atakuua. Na mara alipotoka kwake, simba alimwona, akamwua.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 20

Mtazamo 1 Fal. 20:36 katika mazingira