23 Ndipo mfalme akasema, Huyu anasema, Mtoto wangu yu hai, na mtoto wako amekufa. Na huyu anasema, Sivyo hivyo; bali mtoto aliyekufa ni wako, na mtoto aliye hai ni wangu.
Kusoma sura kamili 1 Fal. 3
Mtazamo 1 Fal. 3:23 katika mazingira