1 Fal. 4:13 SUV

13 Mwana wa Geberi katika Ramoth-gileadi; na kwake ilikuwa miji ya Yairi mwana wa Manase iliyomo Gileadi; na kwake ilikuwa wilaya ya Argobu, iliyomo Bashani, miji mikubwa sitini yenye kuta na makomeo ya shaba.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 4

Mtazamo 1 Fal. 4:13 katika mazingira