1 Fal. 7:14 SUV

14 Naye alikuwa mwana wa mwanamke mjane wa kabila ya Naftali, na babaye alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba; naye alikuwa mwingi wa hekima na akili, mstadi wa kufanya kazi zote za shaba. Akamfikilia mfalme Sulemani, akamfanyia kazi yake yote.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 7

Mtazamo 1 Fal. 7:14 katika mazingira