11 Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
12 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.
13 Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
14 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;
15 na Mhivi, na Mwarki, na Msini;
16 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.
17 Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.