20 Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;
21 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;
22 na Obali, na Abimaeli, na Sheba;
23 na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
24 Shemu, na Arfaksadi, na Sala;
25 na Eberi, na Pelegi, na Reu;
26 na Serugi, na Nahori, na Tera;