1 Nya. 21:16 SUV

16 Daudi akainua macho yake, akamwona huyo malaika wa BWANA amesimama kati ya nchi na mbingu, naye alikuwa na upanga wazi mkononi, umenyoshwa juu ya Yerusakmu. Ndipo Daudi na wazee wakaanguka kifulifuli, nao wamevaa nguo za magunia.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 21

Mtazamo 1 Nya. 21:16 katika mazingira