1 Nya. 21:26 SUV

26 Kisha Daudi akamjengea BWANA madhabahu huko, akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, akamlingana BWANA; naye akamwitikia kutoka mbinguni kwa moto juu ya madhabahu hiyo ya sadaka ya kuteketezwa.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 21

Mtazamo 1 Nya. 21:26 katika mazingira