1 Nya. 22:5 SUV

5 Daudi akasema, Sulemani mwanangu akali ni mchanga bado, na mwororo, nayo nyumba atakayojengewa BWANA haina budi kuwa nzuri mno, yenye sifa na yenye fahari katika nchi zote; kwa hiyo mimi nitaiwekea akiba. Basi Daudi akaweka akiba tele kabla hajafa.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 22

Mtazamo 1 Nya. 22:5 katika mazingira