1 Nya. 23:13 SUV

13 Wana wa Amramu; Haruni na Musa; naye Haruni akatengwa, ili ayatakase yaliyo matakatifu sana, yeye na wanawe milele, ili kufukiza uvumba mbele za BWANA, kumtumikia, na kubariki kwa jina lake, milele.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 23

Mtazamo 1 Nya. 23:13 katika mazingira