15 ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
16 ya kenda Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;
17 ya kumi Shimei, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
18 ya kumi na moja Uzieli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
19 ya kumi na mbili Hashabia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
20 ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
21 ya kumi na nne Matithia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;