21 ya kumi na nne Matithia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
22 ya kumi na tano Yeremothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
23 ya kumi na sita Hanania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
24 ya kumi na saba Yoshbekasha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
25 ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
26 ya kumi na kenda Malothi, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
27 ya ishirini Eliatha, wanawe na nduguze, kumi na wawili;